videoblogs.com
es

Azam FC 2 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 17/03/2024

Favoritos

Azam TV

This video has been trending in Tanzania

DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.

Share Video

¿Do you like Azam FC 2 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 17/03/2024? Share it with your people...